Sheddy Salama Rohoni Lyrics


Salama Rohoni by Sheddy

[verse 1]
Nionapo amani kama shwari
Ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha
Ni salama rohoni mwangu

[chorus]
Salama rohoni,
Ni salama rohoni mwangu

[verse 2]
Ingawa shetani atanitesa
Nitajipa moyo kwani
Kristo ameuona unyonge wangu
Amekufa kwa roho yangu

[chorus]
Salama rohoni,
Ni salama rohoni mwangu

[verse 3]
Dhambi zangu zote wala si nusu
Zimewekwa msalabani
Wala sichukui laana yake
Ni salama rohoni mwangu

[chorus]
Salama rohoni,
Ni salama rohoni mwangu

[verse 4]
Eh Bwana himiza siku ya kuja
Parapanda itakapolia
Utakaposhuka sitaogopa
Maana ni salama rohoni mwangu

[chorus]
Salama rohoni,
Ni salama rohoni mwangu

Recently Searched Lyrics

Recently Viewed Lyrics