Don Jatelo Tabasamu Langu Lyrics


Tabasamu Langu by Don Jatelo

Intro [Instrumentals ]

Chorus]
Moyoni mwangu, nina amani,
Ninayopata kwako
Mpenzi wangu, usiende mbali,
U tabasamu langu. X2

[Verse 1]
Mpenzi mwandani mahabubu
Naanza kwa kuomba msamaha
Nilijaribu na sikuweza
Kuyasarifu maneno matamu X2
Kuna makosa yalifanyika
Ukaondoka kwangu vigafla
Sikuamini kwamba waenda
Mpenzi we X2

[Chorus]
Moyoni mwangu, nina amani,
Ninayopata kwako
Mpenzi wangu, usiende mbali,
U tabasamu langu. X2
[Verse 2]
Kwako nimeonja asali
Na sitaki tena sukari
Wewe ndiwe mpenzi wangu
Eeeeeeeeeee

[Instrumentals]

Kwa mwengine sitokwenda
Mola wewe kanitunuku
Itakuaje wewe karibu
Mpenzi ....

[Chorus]
Moyoni mwangu, nina amani,
Ninayopata kwako
Mpenzi wangu, usiende mbali,
U tabasamu langu. X2

Recently Searched Lyrics

Recently Viewed Lyrics